Sunday, April 17, 2011

MKURUGENZI WA BENDI YA EXTRA BONGO AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI .

Mkurugenzi wa Bendi ya muziki wa Dance ya Extra Bongo, Ally Chocky akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maendeleo ya Bendi jijini Dar es Salaam
Akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo hayo.